• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Meatu District Council
Meatu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Halmashauri ya Wilaya ya Meatu

  • Mwanzo
    • sub home
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Miundombinu, Maendeleo ya Miji na Vijijini
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Sekondari
      • Pre Primary Education
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango na Uratibu
      • Utumishi, Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha
      • Uratibu wa Manunuzi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji na Uvuvi
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fishing
    • Expertise
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Fedha, Uongozi na Mipango
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha habari

Wazalishaji wa chumvi Meatu wawezeshwa Mashine ya kuchanganya madini joto

Imewekwa: August 15th, 2019

Na Linus R. James

Wazalishai wa chumvi katika Halmashauri ya Wilaya ya Meatu wamewezeshwa mashine ya kisasa ya kuchanganya chumvi pamoja na madini joto. Hayo yamebainishwa mapema leo katika ofisi ya Mkurugenzi wa Meatu ambapo ofisi ya mkurugenzi imepokea mashine pamoja na jenerata la kuiendesha vyenye takribani kiasi cha shilingi za kitanzania milioni 26  kutoka katika shirika la NUTRION INTERNATIONATIONAL Kwa kushirikiana na Taasisi ya Chakula na lishe walioambatana na uongozi wa mkoa wa Simiyu.

Akizungumza kwa niaba ya katibu tawala wa mkoa wa Simiyu Ndg. Chacha Magigealisema kwamba maagizo ya katibu tawala ofisi ya mkurugenzi ihakikishe inawashirikisha wazalishaji wa chumvi.

“ Hii mashine ni kwa ajili ya wazalishai, kwa hiyo muhakikishe mnawashirikisha. Mfanye nao kazi pamoja na muhakikishe mnawaeleza faida za hii mashine.”

Pia alisisitiza kuwa wanahitaji kuwa wanapata taarifa ya mashine hii ili kuweza kujua kama kuna mahitaji zaidi ya mashine na ni kwa kiasi gani.

 Mbali na mashine hiyo iliyotolewa Afisa Lishe wa Wilaya ya Meatu, Bi Zuwena Abbas alisema tayari kuna mashine nyingine ambayo iko katika hospitali ya Wilaya kwa ajili ya kupima kiwango cha madini joto lengo likiwa ni kuhakikisha chumvi inayosafirishwa au kutumiwa katika wilaya ya Meatu inakua na kiwango cha madini joto kinachotakiwa.

Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu Bi Mwanaisham Nassor aliwashukuru wadau na uongozi wa mkoa kwa kutoa msaada wa mashine hiyo na kuwahahidi kuwa uongozi wa Meatu utweka mpango kazi ikiwa ni pamoja na uhamasishaji na mahali na lini mashine itafungwa.

“Uongozi wa Halmashauri utateua wajumbe kwa ajili ya kushirikiana na wananchi ili kubaini sehemu sahihi ya kufunga mashine na kasha tutafunga mashine ili ianze kazi mara moja kabla au ifikapo tarehe 15 mwezi Septemba”. Alisema Bi Mwanaisham.

Aidha uongozi wa Wilaya ya Meatu uliomba uongozi wa mkoa kwamba mara ikifika hatua ya kufunga mashine watamuomba mtaalam kwa ajili ya kuja kusaidia ufungaji pamoja na mafunzo ya matumizi ya mashine hiyo

Mashine hii ni jitihada za kuondoa athari za madini joto katika mkoa wa Simiyu hususani mkoa wa simiyu ambapo takwimu mbali mbali zinaonesha kiwango cha kutumia chumvi ya madini joto bado kipo chini licha ya kuwepo kwa sharia inayokataza matumizi ya chumvi isiyo na madinijoto.

MWISHO

Picha zaidi bofya hapa

Matangazo

  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 16, 2024
  • Tangazo la Majina na Mipaka ya Vijiji na Vitongoji kwa Ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa September 16, 2024
  • Mwongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 February 20, 2024
  • Taarifa ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022, Matokeo ya Mwanzo February 20, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi Karibuni

  • Jamii Yatakiwa Kupinga Mila Potofu, Kandamizi

    March 08, 2023
  • Meatu Pikipiki Tisa

    February 14, 2023
  • TAKUKURU RAFIKI

    January 27, 2023
  • Hongereni Wataalam: Ngatumbura

    January 27, 2023
  • Angalia zote

Video

Ziara ya Waheshimiwa mawaziri nane Wilaya ya Meatu kwa ajili ya kukusanya Maoni ya Kutatua Migogoro
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Miongozo Mbali mbali
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari
  • Dokumenti mbali mbali

Tovuti mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara ya Takwimu(NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Meatu, Simiyu, Tanzania

    Anwani ya Posta: S.L.P 44

    Simu: 028 2795 008

    Simu ya Mkononi: 0622 404 712

    Barua Pepe: ded@meatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meatu . Haki Zote Zimehifadhiwa.