• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Meatu District Council
Meatu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Halmashauri ya Wilaya ya Meatu

  • Mwanzo
    • sub home
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Miundombinu, Maendeleo ya Miji na Vijijini
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Sekondari
      • Pre Primary Education
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango na Uratibu
      • Utumishi, Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha
      • Uratibu wa Manunuzi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji na Uvuvi
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fishing
    • Expertise
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Fedha, Uongozi na Mipango
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha habari

Shillingi 117,467,622 zatolewa kwa ajili ya vijana, wanawake na wenye ulemavu

Imewekwa: October 4th, 2021

Anaandika Linus R. James ,Meatu

Hayo yamebainishwa mapema leo katika kikao kazi na mafunzo katika vikundi vya wanawake, vijana na wenye ulemavu yaliyofanyika katika ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Meatu

Mafunzo hayo yalioendeshwa na idara ya maendeleao ya jamii yalilkua na lengo la kutoa njia thabiti za kuviwezesha  vikundi kusimamia fedha vizuri ili zilete tija na hatimaye vikundi viweze kunufaika na mikopo hiyo na kisha kufanya  marejesho ya pesa.

Akimkariobisha mkurugenzi mtendaji, Mkuu wa Idara ya maendeleo ya jamii Bi Mwanaisham Nassor  amesema tayari halmashauri ya wilaya imetoa Tsh 117,467,622 sawa na asilimia 95.

“Kwa mwezi Julai mpaka sasa, halmashauri imetoa Tsh. 117,676,622 sawa na asilimia 95 ya makusanyo yetu ya ndani, kwa leo vikundi vilivyopo mbele yako mkurugenzi tunaenda kutoa Tsh 85,277,00 kamili”. Alisema Bi Mwanaisham.

Bi mwanaisham aliendelea kusistiza kwamba katika mgao huo wa milioni 85, jumla yaTsh 77,777,000 zimetolewa katika vikundi 18 vya wanawake na Tshs million 10.5 katika vikundi vitatu vya vijana na milioni mbili katika kikundi cha watu wenye ulemavu.

Naye  Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu Ndg.Msoleni Juma Dakawa akizungumza na wanaufaika wa mikopo hio alihimiza kufanya ujasiliamali wenye uwekezaji mkubwa  na wenye kuleta  tija ukiwa na lengo la kuongeza kipato na kutengeneza ajira kwa wananchi ama wanufaika  wengi..

“Kama tukiwapa milioni 5 mkarejesha ndani ya mda  mfupi (miezi mitano, sita) milioni 5 leteni maombi ya milioni tano nyingine tuwape milioni 10 lakini tunashauri mfanye biashara iliyo kubwa ambayo mwisho wa siku  italeta faida kwa haraka miongoni mwenu” Alisema Mkurugenzi Mtendaji.

Akitoa salam kutoka upande wa afya Kaimu mganga Mkuu wa Wilaya Dr.Frank Mganga aliwasisitiza wamnavikundi kuendelea kujikinga na kuchukua tahadhari dhibi ya virusi vya UVIKO 19 na kuwasisitiza watu wachanje kwa hiari.

“ Chanjo inakuepusha usipate gharama hizi hela mnazopewa zina marejesho, kwa mfano kama watu watatu wakiugua kwenye kikundi mnafanyeje, sasa chanjo inapatikana na chanjo inapatikana hapa hapa ukumbini kwa hiyo nawashauri mpate chanjo”. Alisisitiza  Daktari.

Kwa upande wake mbunge wa viti maalum Meatu Mh. Minza Simon Mjika   aliwasistiza wana vikundi kuangalia faida na hasara katika biashara wanazozifanya kwa kuweka kumbukumbu na kuangalia mapato na matumizi.

“ Jifunze kwenda kwa mahesabu, unataka kuchoma chapati chukua mzani pima weka kwenye chombo angalia unata chapati ngapi mwisho wa siku ujue faida. Usipike wakati unapika mwisho wa siku utaungua moto tuu, jifunze kufanya kitu kwa malengo”. Alisema Mh Mbunge.

Hafla na mafunzo hayo yameudhuriwa na Mbunge wa viti maalum Jimbo la Meatu Pamoja na mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu katika Ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya Meatu ambapo baada ya mafunzo na nasaha, hundi ya mfano ilitolewa kwa wanakikundi.

MWISHO

Picha zaidi Bofaya Hapa

Matangazo

  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 16, 2024
  • Tangazo la Majina na Mipaka ya Vijiji na Vitongoji kwa Ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa September 16, 2024
  • Mwongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 February 20, 2024
  • Taarifa ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022, Matokeo ya Mwanzo February 20, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi Karibuni

  • Jamii Yatakiwa Kupinga Mila Potofu, Kandamizi

    March 08, 2023
  • Meatu Pikipiki Tisa

    February 14, 2023
  • TAKUKURU RAFIKI

    January 27, 2023
  • Hongereni Wataalam: Ngatumbura

    January 27, 2023
  • Angalia zote

Video

Ziara ya Waheshimiwa mawaziri nane Wilaya ya Meatu kwa ajili ya kukusanya Maoni ya Kutatua Migogoro
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Miongozo Mbali mbali
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari
  • Dokumenti mbali mbali

Tovuti mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara ya Takwimu(NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Meatu, Simiyu, Tanzania

    Anwani ya Posta: S.L.P 44

    Simu: 028 2795 008

    Simu ya Mkononi: 0622 404 712

    Barua Pepe: ded@meatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meatu . Haki Zote Zimehifadhiwa.