• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Meatu District Council
Meatu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Halmashauri ya Wilaya ya Meatu

  • Mwanzo
    • sub home
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Miundombinu, Maendeleo ya Miji na Vijijini
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Sekondari
      • Pre Primary Education
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango na Uratibu
      • Utumishi, Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha
      • Uratibu wa Manunuzi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji na Uvuvi
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fishing
    • Expertise
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Fedha, Uongozi na Mipango
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha habari

Ngatumbura: WEO Wote Simamieni Wanafunzi

Imewekwa: January 24th, 2023

Na Benton Nollo, Mwanhuzi

Mkuu wa Wilaya ya Meatu, Fauzia Ngatumbura amewaagiza Watendaji wa Kata zote wilayani humo kusimamia na kulipa kipaumbele suala la Wanafunzi wa Darasa la Awali na Wanafunzi wa Kidato cha Kwanza kuripoti shuleni haraka iwezekanavyo.

Ngatumbura ametoa agizo hilo wakati wa kikao cha Wadau wa Uhifadhi kwa ajili ya Uandaaji wa Mpango wa Jumla wa Usimamizi wa Matumizi ya Rasilimali za Jumuiya ya Wanyamapori Makao kilichofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu tarehe 24 Januari  2023.

"Mpaka sasa takriban wanafunzi wa Kidato cha Kwanza 1,756 hawajaripoti shuleni kuanza masomo...nitachukua hatua kwa Watendaji wa Kata na Vijiji ambao mpaka kufikia tarehe 30 Januari 2023 kutakuwa na Mwanafunzi ambaye hajaripoti shuleni...tukumbuke suala la Wanafunzi kwenda shule ni la lazima siyo hiari." Anasema Ngatumbura na kuongeza;

"Pia, ninawaagiza Watendaji wa Kata wote kusimamia suala la utoaji wa chakula shuleni kwani jambo hilo lina nafasi kubwa sana katika maendeleo ya Wanafunzi shuleni."

Halmashauri ya Wilaya ya Meatu ailpokea fedha kutoka Serikali Kuu shilingi bilioni 1.48 ili kujenga vyumba vya madarasa 74 kwa ajili ya Wanafunzi wa Kidato cha Kwanza mwaka 2023 ambapo madarasa hayo tayari ujenzi wake ulishakamilika na yameanza kutumika mhula wa masomo uliofunguliwa tarehe 09 Januari 2023.


Matangazo

  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Mwaka 2023 December 14, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba (PSLE) 2022 December 01, 2022
  • Taarifa kwa Umma Kuhusu Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani November 30, 2022
  • Taarifa kwa Umma Kuhusu Zoezi la Kitaifa la Chanjo ya Polio Awamu ya Nne November 30, 2022
  • Angalia zote

Habari za hivi Karibuni

  • Jamii Yatakiwa Kupinga Mila Potofu, Kandamizi

    March 08, 2023
  • Meatu Pikipiki Tisa

    February 14, 2023
  • TAKUKURU RAFIKI

    January 27, 2023
  • Hongereni Wataalam: Ngatumbura

    January 27, 2023
  • Angalia zote

Video

Ziara ya Waheshimiwa mawaziri nane Wilaya ya Meatu kwa ajili ya kukusanya Maoni ya Kutatua Migogoro
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Miongozo Mbali mbali
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari
  • Dokumenti mbali mbali

Tovuti mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara ya Takwimu(NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Meatu, Simiyu, Tanzania

    Anwani ya Posta: S.L.P 44

    Simu: 028 2795 008

    Simu ya Mkononi: 0622 404 712

    Barua Pepe: ded@meatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meatu . Haki Zote Zimehifadhiwa.