• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Meatu District Council
Meatu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Halmashauri ya Wilaya ya Meatu

  • Mwanzo
    • sub home
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Miundombinu, Maendeleo ya Miji na Vijijini
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Sekondari
      • Pre Primary Education
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango na Uratibu
      • Utumishi, Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha
      • Uratibu wa Manunuzi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji na Uvuvi
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fishing
    • Expertise
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Fedha, Uongozi na Mipango
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha habari

Neema yaja kwa watu wenye ulemavu Meatu

Imewekwa: February 27th, 2019

Na Linus R. James Meatu DC

Hayo yamebainishwa katika mkutano uliofanyika jana katika ukumbi wa halmashauri ya Meatu baina ya Naibu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia  sera, kazi, vijana na  ajira ya Masuala ya watu wenye ulemavu Mh Stella Ikupa na viongozi mbali mbali halmashauri , serikali na chama Tawala wa Mkoa wa Simiyu pamoja na watu wenye ulemavu Meatu.

Akimkaribisha Naibu waziri, mbunge wa viti maalum(CCM) wilaya ya Meatu Mh Leah Komanya alimkumbusha naibu waziri huyo ombi la vifaa saidizi vya walemavu ikiwa ni pamoja na viungo na baiskeli.

“Najua mengi yanafanywa katika ofisi ya Waziri Mkuu upande wa walemavu tumekua tukiona sehemu zingine walemavu wanapewa vifaa vya kuwawezesha vikiwemo viungo, nimekua nikuletea sana kabla hujawa hata waziri  ombi la ‘wheel chair’  za walemavu na picha nikuonesha walemavu walivyo naomba sana unisaidie katika Wilaya hii nimefurahi upo na walemavu wapo na wanamuona Mbunge yupo ambaye anawasemea  ninakuomba useme chochote  utakapopata nafasi ya kuongea nao”. Alisema Mbunge huyo.

Licha ya Naibu waziri huyo Kuupongeza uongozi wa Wilaya hususani kwa jitihada mbali mbali hasa kuwaweza walemavu kushiriki mambo mbali mbali ndani na nje ya Wilaya  na kuwapatia mkopo usio na riba, yapo mambo ambayo kikao hicho kiliona ni muhimu kuyatilia mkazo ili kuhakikisha watu wenye ulemavu mbali mbali wanaweza kufanya shughuli mbali mbali ikiwa ni pamoja na kuhakikisha pia kundi la walemavu  linashiriki  katika mradi wa kitalu nyumba unaendelea utekelezwa wilayani  .

Naye Naibu waziri aliahidi kuwa kwakua kuna vifaa vipo karibuni kuja wizarani ivyo anawaahidi kuwa vitakapofika katika atajitahidi kuhakikisha na Wilaya ya Meatu inapata vifaa katika mgao unaokuja pia aliweza kusisitiza kuhakikisha makundi ya watu wenye ulemavu wanajiunga katika mfuko wa CHF iliyoboreshwa.

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya alibainisha mambo makubwa ya mda mrefu ambayo ofisi imejipanga   ambayo ni pamoja na Halmashauri kuwa na mpango wa kuwajengea ofisi maalum kwa ajili ya kuratibu mambo yao, kuhakikisha mafuta ya watu wenye ulemavu wa ngozi yanapatikana kwa wakati na na kuhakikisha makusanyo yanakusanywa kwa ufanisi ili fedha za kuwakopesha watu wenye ulemavu zinapatikana kwa wakatii.

Akimkaribisha Mgeni rasmi kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Simiyu ndg. Mh Festo Kiswaga mbaye ni Mkuu wa wilaya ya Bariadi aliweza kutaja vipaumbele vya mkoa ambavyo ni Elimu na Kilimo na kwakua mkoa upo kwenye mchakato wa kila kijiji kuwa na kiwanda alisema fursa ya kilimo hususani kitalu nyumba ni nyenzo muhimu kufikia jitihada za mkoa.

”Mh RC ametoa vipaumbele viwili cha kwanza ni Elimu cha pili ni kilimo na Wilaya ya Meatu ndio wazalishaji namba moja kwa pamba, mpango uliopo ni kwamba kila kijiji kiwe na kiwanda ndani ya Simiyu yaani bidhaa moja kijiji kimoja kwa hiyo ziara yako inaenda sambamba na vipaumbele vya Mh Mkuu wetu wa mkoa”. Alisema Kiswaga.

“Kwetu sisi Mheshimiwa Naibu waziri, mkuu wa Mkoa wetu mara nyingi anapozungumza anasema uwe Mkoa wa Simiyu uwe  wa kwanza kwenda kwenye uchumi wa kati na huwezi kwenda uchumi wakati  ukiwa umeacha watu wenye ulemavu nyuma kwa hiyo sisi kama viongozi  maagizo yako ambayo utayatoa mbele yao sisi tutayatekeleza ” Alisema Kiswaga

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri Mh pius Machungwa alisema alimuomba Naibu waziri huyo kama ikiwezekana mradi wa kitalu nyumba ujengwe kwa kila tarafa ili kuwawezesha watu wenye ulemavu kuw rahisi kushiriki kikamilifu kwa kua jiografia ya Meatu ni kubwa sana.

Kabla ya mkutano huu mh Naibu waziri alianza kupokea taarifa fupi kutoka kwa Mkuu wa Wilaya pamoja na kutembelea mradi wa ujenzi wa kitalu nyumba ili kujua ni hatua gani Halmashauri ya Wilaya ya Meatu imefikia katika utekelezaji wa mradi huo mwisho Naibu waziri alihitimisha kwa kuongeaa na watu wenye ulemavu ikiwa ni pamoja na kuona baadhi ya waasiriamali wenye ulemavu pamoja na kupata taarifa fupi.

MWISHO.

Kupata picha zaidi tafadhali bofaya hapa

Matangazo

  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 16, 2024
  • Tangazo la Majina na Mipaka ya Vijiji na Vitongoji kwa Ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa September 16, 2024
  • Mwongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 February 20, 2024
  • Taarifa ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022, Matokeo ya Mwanzo February 20, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi Karibuni

  • Jamii Yatakiwa Kupinga Mila Potofu, Kandamizi

    March 08, 2023
  • Meatu Pikipiki Tisa

    February 14, 2023
  • TAKUKURU RAFIKI

    January 27, 2023
  • Hongereni Wataalam: Ngatumbura

    January 27, 2023
  • Angalia zote

Video

Ziara ya Waheshimiwa mawaziri nane Wilaya ya Meatu kwa ajili ya kukusanya Maoni ya Kutatua Migogoro
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Miongozo Mbali mbali
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari
  • Dokumenti mbali mbali

Tovuti mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara ya Takwimu(NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Meatu, Simiyu, Tanzania

    Anwani ya Posta: S.L.P 44

    Simu: 028 2795 008

    Simu ya Mkononi: 0622 404 712

    Barua Pepe: ded@meatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meatu . Haki Zote Zimehifadhiwa.