• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Meatu District Council
Meatu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Halmashauri ya Wilaya ya Meatu

  • Mwanzo
    • sub home
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Miundombinu, Maendeleo ya Miji na Vijijini
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Sekondari
      • Pre Primary Education
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango na Uratibu
      • Utumishi, Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha
      • Uratibu wa Manunuzi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji na Uvuvi
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fishing
    • Expertise
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Fedha, Uongozi na Mipango
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha habari

Msimu wa Ununuzi wa Pamba, 2017/18 Wafunguliwa Rasmi, Mwabusalu, Meatu

Imewekwa: June 9th, 2017

Akizungumza kwenye siku ya uzinduzi wa msimu wa ununuzi wa pamba 2017/18 uliofanyika katika kijiji cha Mwabusalu Wilayani Meatu, Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Zainab Telack alisema bei ya kilo moja ya pamba kwa msimu huu imepanda kutoka Sh. 1,000/= mwaka jana hadi Sh. 1,200/=.

Telack aliwaonya wakulima wa pamba kote Nchini kuacha kuchanganya maji, mawe na mchanga kwa ajili ya kuongeza uzito katika kipimo kwa kuwa watakaobainika watachukuliwa hatua za kisheria.

Aidha, alisema kuwa kufanya hivyo kunapunguza thamani ya zao hilo na kusababisha bei kushuka kwenye soko la dunia. “Serikali imejipanga kuhakikisha inawakamata na kuwachukulia hatua wale wote watakaobainika kuchafua pamba, ni vyema kuhakikisha mnavuna na kuuza pamba safi,” alisema Telack.

Pia aliwataka wanunuzi kuhakikisha mizani wanayotumia iwe imehakikiwa na wataalam wa vipimo ili wasiwaibie wakulima na kwamba watakaobainika watachukuliwa hatua za kisheria ikiwamo kuhukumiwa papo hapo na Mahakama inayotembea.

Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Pamba Tanzania (TCB) Marko Mtunga alisema wanatarajia kununua tani milioni moja za pamba nchi nzima.

“Matarajio hayo ni baada ya kuona uzalishaji kushuka kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa, pia kwa kuwa wakulima walikuwa wamekata tamaa ya kuzalisha” alisema. Kauli mbiu katika sherehe hizo za ufunguzi wa msimu ilikuwa; “Wekeza katika Kilimo cha Mkataba na Mbegu Bora kuelekea Tanzania ya Viwanda”

Matangazo

  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 16, 2024
  • Tangazo la Majina na Mipaka ya Vijiji na Vitongoji kwa Ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa September 16, 2024
  • Mwongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 February 20, 2024
  • Taarifa ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022, Matokeo ya Mwanzo February 20, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi Karibuni

  • Jamii Yatakiwa Kupinga Mila Potofu, Kandamizi

    March 08, 2023
  • Meatu Pikipiki Tisa

    February 14, 2023
  • TAKUKURU RAFIKI

    January 27, 2023
  • Hongereni Wataalam: Ngatumbura

    January 27, 2023
  • Angalia zote

Video

Ziara ya Waheshimiwa mawaziri nane Wilaya ya Meatu kwa ajili ya kukusanya Maoni ya Kutatua Migogoro
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Miongozo Mbali mbali
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari
  • Dokumenti mbali mbali

Tovuti mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara ya Takwimu(NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Meatu, Simiyu, Tanzania

    Anwani ya Posta: S.L.P 44

    Simu: 028 2795 008

    Simu ya Mkononi: 0622 404 712

    Barua Pepe: ded@meatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meatu . Haki Zote Zimehifadhiwa.