• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Meatu District Council
Meatu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Halmashauri ya Wilaya ya Meatu

  • Mwanzo
    • sub home
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Miundombinu, Maendeleo ya Miji na Vijijini
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Sekondari
      • Pre Primary Education
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango na Uratibu
      • Utumishi, Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha
      • Uratibu wa Manunuzi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji na Uvuvi
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fishing
    • Expertise
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Fedha, Uongozi na Mipango
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha habari

Mei Mosi: Mkuu wa Mkoa wa Simiyu awataka viongozi wasitoe kauli za kuwakatisha tamaa watumishi

Imewekwa: May 5th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe.Anthony Mtaka amewataka Viongozi Mkoani humo wasitoe kauli za kukatisha tamaa watumishi walio chini yao ili waweze kutekeleza majukumu yao vema ikiwa ni pamoja na kushiriki kikamilifu katika  Agenda ya Mkoa ya Ujenzi wa Uchumi wa Viwanda chini ya Kauli Mbiu"WILAYA MOJA BIDHAA MOJA”.Mkuu wa Mkoa ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na Watumishi katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi) duniani yaliyofanyika kimkoa Lamadi Wilayani Busega.Mtaka amesema Serikali Mkoani humo ina agenda katika Ujenzi wa Uchumi wa Viwanda ambayo ni kujenga Viwanda ambavyo malighafi yake yanapatikana hapa nchini. 

Amesema  Serikali Mkoani imedhamiria kujenga  Mkoa utakaoonesha dira katika Ujenzi wa Uchumi wa Viwanda, utaotekeleza Ilani ya CCM, Dira ya Taifa,Mpango wa Taifa wa Miaka mitano, utakaotekeleza maono na matamanio ya Mhe Rais na  ili kutekeleza yote haya Viongozi wanahitaji  kuungwa mkono na watumishi wa Serikali.“Sisi kama Mkoa tunahitaji kujenga Mkoa wetu kuwa  mkoa wa Viwanda kwa vitendo siyo kwa maneno, ili tuweze kujenga uchumi wa Viwanda ni lazima tuungwe mkono na wafanyakazi, ili tuungwe mkono na wafanyakazi ni lazima kauli zetu ziweze kujenga morali kwa wafanyakazi; hauwezi ukawa unataka kujenga uchumi wa viwanda Simiyu halafu unakuwa ni Mkurugenzi au Mkuu wa Idara mwenye lugha za hovyo kwa wafanyakazi ni vitu visivyowezekana” alisemaAmeongeza kuwa chini ya Kauli Mbiu ya “Wilaya Moja Bidhaa Moja” Serikali imepanga kuwa Wilaya ya Busega iwe na kiwanda cha  kutengeneza Tomato  sauce,Chilli Sauce na bidhaa zote za mbogamboga  ambazo zitauzwa katika mikoa ya Mwanza,Mara,Geita,Shinyanga, Kagera, Singida, Kigoma na Dar es Salaam.Aidha amesema katika wilaya ya Itilima zitatengenezwa sabuni za maji,unga na za miche, wilaya ya Maswa Halmashauri itapata mkopo wa shilingi Bilioni 1.5 kwa ajili ya upanuzi wa kiwanda cha chaki na wilaya ya Meatu itapata shilingi bilioni 1.3 kwa ajili ya kupanua kiwanda cha maziwa ili maziwa ya unga yazalishwe pia. Soma zaidi......

Matangazo

  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 16, 2024
  • Tangazo la Majina na Mipaka ya Vijiji na Vitongoji kwa Ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa September 16, 2024
  • Mwongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 February 20, 2024
  • Taarifa ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022, Matokeo ya Mwanzo February 20, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi Karibuni

  • Jamii Yatakiwa Kupinga Mila Potofu, Kandamizi

    March 08, 2023
  • Meatu Pikipiki Tisa

    February 14, 2023
  • TAKUKURU RAFIKI

    January 27, 2023
  • Hongereni Wataalam: Ngatumbura

    January 27, 2023
  • Angalia zote

Video

Ziara ya Waheshimiwa mawaziri nane Wilaya ya Meatu kwa ajili ya kukusanya Maoni ya Kutatua Migogoro
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Miongozo Mbali mbali
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari
  • Dokumenti mbali mbali

Tovuti mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara ya Takwimu(NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Meatu, Simiyu, Tanzania

    Anwani ya Posta: S.L.P 44

    Simu: 028 2795 008

    Simu ya Mkononi: 0622 404 712

    Barua Pepe: ded@meatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meatu . Haki Zote Zimehifadhiwa.