• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Meatu District Council
Meatu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Halmashauri ya Wilaya ya Meatu

  • Mwanzo
    • sub home
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Miundombinu, Maendeleo ya Miji na Vijijini
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Sekondari
      • Pre Primary Education
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango na Uratibu
      • Utumishi, Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha
      • Uratibu wa Manunuzi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji na Uvuvi
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fishing
    • Expertise
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Fedha, Uongozi na Mipango
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha habari

Meatu Kuvaa sare zilizotengenezwa na wajasiriamali wa ndani ya Wilaya siku ya mbio za Mwenge wa Uhuru 2019

Imewekwa: March 30th, 2019

Na Linus R. James ( MEATU DC)

Hayo yamebainishwa jana jioni katika kikao cha maandalizi ya mbio za mwenge wa uhuru mwaka 2019 kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu.

Kikao hicho kilichoongozwa na Mh Mkuu wa Wilaya ya Meatu Dr. Joseph E. Chillongani kilikua na wajumbe mbali mbali ambao ni pamoja na, kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya, Viongozi wa Chama tawala wa Wilaya, Mkurungenzi Mtendaji Ndg, Fabian Manoza Said, Wakuu wa Idara mbali mbali wa Halmashauri ya Wilaya pamoja na taasisi mbalimbali, viongozi wa dini mbali mbali pamoja na wadau wa maendeleo wa wilaya,  kililenga kujadili namna nzuri ya kuukaribisha na kuukimbiza Mwenge wa Uhuru ndani ya Wilaya.

Licha ya kupendekeza njia na miradi ambapo mwenge wa Uhuru utapita kwa lengo la kukakua au kuweka jiwe la msingi au kufungua, Ofisi ya Mkurugenzi mtendaji kupitia Idara ya Maendeleo ya Jamii iliweza kukitambulisha kikundi cha vijana kiitwacho “ Meatu Leather Product” .

Aidha kiongozi wa kikundi hicho aliweza kutambulisha bidhaa mbali mbali ambazo kwa sasa wanazitengeneza ikiwa ni pamoja na mafuta ya kupaka, sabuni na batiki. Aidha waliweza kuonesha sampuli za batiki walizozitengeneza kwa mikono yao wenyewe ambapo wajumbe waliweza kuchagua  na kupendekeza batiki zao ziwe ndiyo sale rasmi ya Mwenge wa Uhuru.

Naye Mkurugenzi mtendaji Ndg. Fabian Manoza Said akitoa ufafanuzi wa kikundi hicho alsema licha ya kwamba jina la kikundi limebeba bidhaa zitokanazo na ngozi alisema kikundi hiki kimeanza kutengeneza batiki kwa sababu bidhaa ya ngozi inahitaji uwekezaji mkubwa na kwa sasa halmashauri ya Wilaya ya Meatu haipo vizuri sana kifedha.

“Wakatii naletewa ikundi kwa ajili ya kuomba 4% wazo la batiki halikuniingia akilini, nilimwambia afisa maendeleo anitafutie kikundi kinachojishughulisha na ngozi kwa sababu ngozi ni ‘hot cake’ kwa sababu mifugo tunayo ya kutosha, lakini baadae tulipata hiki kikundi cha uzalishaji wa bidhaa za ngozi, hata ivyo mtaji wa ngozi ni mkubwa na watahitaji mafunzo ” Alisema Mkurugenzi.

Mkurugenzi alisisitiza kuwa kikundi kikipata mtaji na  tenda ya mwenge kitaweza kuanza kuzalisha bidhaa za ngozi na ivyo kukamilisha hadhima kuu ya uanzishwaji wa kikundi hiki cha " Meatu Leather Product".

Naye afisa maendeleo wa Wilaya Bi Mwanaisham Nassor alisisitiza kuwa, hizi ni jitihada za kuendeleza sera ya serikali ya kuwa na uchumi wa kati na viwanda pamoja na kuwainua vijana.

“ Tayari Ofisi ya Mkurugenzi kupitia idara yetu imeshatoa aslimia nne kwa hiki kikundi na kikundi kimepewaa mafunzo ya batiki kutoka kwa mtaalam aliyetoka geita, kikundi kinaweza kuzalisha vipande visivyopungua 100 kwa siku”. Alisema Bi Mwanaisham.

Mwisho

Matangazo

  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 16, 2024
  • Tangazo la Majina na Mipaka ya Vijiji na Vitongoji kwa Ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa September 16, 2024
  • Mwongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 February 20, 2024
  • Taarifa ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022, Matokeo ya Mwanzo February 20, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi Karibuni

  • Jamii Yatakiwa Kupinga Mila Potofu, Kandamizi

    March 08, 2023
  • Meatu Pikipiki Tisa

    February 14, 2023
  • TAKUKURU RAFIKI

    January 27, 2023
  • Hongereni Wataalam: Ngatumbura

    January 27, 2023
  • Angalia zote

Video

Ziara ya Waheshimiwa mawaziri nane Wilaya ya Meatu kwa ajili ya kukusanya Maoni ya Kutatua Migogoro
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Miongozo Mbali mbali
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari
  • Dokumenti mbali mbali

Tovuti mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara ya Takwimu(NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Meatu, Simiyu, Tanzania

    Anwani ya Posta: S.L.P 44

    Simu: 028 2795 008

    Simu ya Mkononi: 0622 404 712

    Barua Pepe: ded@meatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meatu . Haki Zote Zimehifadhiwa.