• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Meatu District Council
Meatu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Halmashauri ya Wilaya ya Meatu

  • Mwanzo
    • sub home
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Miundombinu, Maendeleo ya Miji na Vijijini
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Sekondari
      • Pre Primary Education
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango na Uratibu
      • Utumishi, Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha
      • Uratibu wa Manunuzi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji na Uvuvi
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fishing
    • Expertise
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Fedha, Uongozi na Mipango
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha habari

Mbio za Mwenge wa Uhuru 2019 Meatu zafana

Imewekwa: May 23rd, 2019

Na Linus R. James

Mbio za mwenge wa uhuru Wilayani Meatu zimeonekana kuwafurahisha wananchi pamoja na viongozi wa Wilaya ya Meatu,

Kwa mwaka 2019 Mwenge wa Uhuru umepitia miradi 5 yenye thamani ya Tshs. 1,582,459,370.00 ambayo imechangiwa na wadau mbalimbali  yaani Serikali Kuu Tshs. 70,227,470.00, Halmashauri ya Wilaya Tshs.51,670,600.00, Wananchi 746,991,300.00 na Sekta binafsi ni Tshs.80,570,000.00.

Katika Miradi hiyo Mwenge wa Uhuru Umekagua mradi wa Maji wa itinje na kupanda miti, umekagua kitalu cha mbegu bora ya zao la pamba Katika kata ya Mwabusalu,umezindua vyumba 2 vya maabara ya Kemia na biologia katika shule ya Sekondari Mwandoya, umezindua klabu ya Mapamabano dhidi ya rushwa  na  Klabu ya kupambana mimba za Utotoni, umefungua Nyumba ya kulala wageni(TS Lodge), pamoja na kukagua mradi wa wajasiliamali ( Meatu Leather Product).

Naye kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Mzee Mkongea Ali pamoja na timu yake wameridhia miradi yote kama ilivyopendekezwa na uongozi wa Wilaya ya Meatu kwa niaba ya Wananchi hali iliyoonekana kuleta furaha kwa wananchi pamoja na viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu waliojitokeza katika mbio za Mwenge wa Uhuru.

Mbali na Kuridhia miradi hiyo Kiongozi amefurahishwa na ubunifu wa miradi hususani klabu ya kupambana na mimba ya utotoni, kitalu cha uzalishaji wa pamba, Nyumba ya Kulala wageni pamoja na kikundi cha wajasiliamali

“ Tangia tumeanza mbio za Mwenge Mkoani Songwe hatujawahi kukutana na klabu za namna hii ya mapambano dhidi ya mimba za utotoni”. Alisema Mzee Mkongea

Akisoma Risala ya Utii mble ya Kiongozi wa mbio za Mwenge katibu tawala wa Wilaya ya Meatu Ndg. Albert Rutahiwa  alisema Sisi wananchi wa  Wilaya ya Meatu kwa dhati na furaha kubwa tumeupokea ujumbe wa Mwenge wa Uhuru usemao “Maji ni Haki ya kila mtu, tutunze vyanzo vyake na tukumbuke kushiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa” na kauli mbiu isemayo “pima, jitambue , ishi”,  “Kataa rushwa, Jenga Tanzania”, “Tujenge maisha yetu, Jamii na Utu wetu bila dawa za kulevya” na “Nipo tayari kutokomeza Malaria, wewe Je?” Alisema  Ujumbe huu wa mbio za mwenge wa Uhuru unazingatia hoja, Vipaumbele, Mikakati, dhana ya ushirikishwaji wa Wananchi katika kulinda na kuhifadhi vyanzo vya Maji na kuwakumbusha kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Baada ya kusikiliza risala ya Utii kiongozi wa mbio za Mwenge amekagua mabanda mbali mbali ambayo ni banda la TAKUKURu Meatu, Banda la mapambano dhidi ya madawa ya Kulevya Meatu, banda la uchaguzi, banda la wajasiliamali mbali mbali wanauza bidhaa pamoja na banda la afya.

Mwenge wa Uhuru umepokelewa Wilayani Maswa ambapo umeipitia miradi mbali mbali, utafanya mkesha katika mji wa Mwanhuzi kisha kesho utakabidhiwa katika kijiji cha Gambatinga  Wilaya ya Itilima

MWISHO

Pich zaidi bofya hapa

Matangazo

  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 16, 2024
  • Tangazo la Majina na Mipaka ya Vijiji na Vitongoji kwa Ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa September 16, 2024
  • Mwongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 February 20, 2024
  • Taarifa ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022, Matokeo ya Mwanzo February 20, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi Karibuni

  • Jamii Yatakiwa Kupinga Mila Potofu, Kandamizi

    March 08, 2023
  • Meatu Pikipiki Tisa

    February 14, 2023
  • TAKUKURU RAFIKI

    January 27, 2023
  • Hongereni Wataalam: Ngatumbura

    January 27, 2023
  • Angalia zote

Video

Ziara ya Waheshimiwa mawaziri nane Wilaya ya Meatu kwa ajili ya kukusanya Maoni ya Kutatua Migogoro
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Miongozo Mbali mbali
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari
  • Dokumenti mbali mbali

Tovuti mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara ya Takwimu(NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Meatu, Simiyu, Tanzania

    Anwani ya Posta: S.L.P 44

    Simu: 028 2795 008

    Simu ya Mkononi: 0622 404 712

    Barua Pepe: ded@meatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meatu . Haki Zote Zimehifadhiwa.