• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Meatu District Council
Meatu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Halmashauri ya Wilaya ya Meatu

  • Mwanzo
    • sub home
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Miundombinu, Maendeleo ya Miji na Vijijini
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Sekondari
      • Pre Primary Education
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango na Uratibu
      • Utumishi, Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha
      • Uratibu wa Manunuzi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji na Uvuvi
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fishing
    • Expertise
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Fedha, Uongozi na Mipango
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha habari

Bashungwa: Tuko Tayari Kufia 'Site" Kuliko Kumuangusha Rais

Imewekwa: August 1st, 2022

"Hii ni timu yako ya ushindi, umetuamini hatutakuangusha." Anasema Waziri Bashungwa

 

OR- TAMISEMI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Innocent Bashungwa (Mb) amesema wako tayari kuifia 'site' kuliko kumuangusha Rais Samia Suluhu Hassan katika kuwahudumia Wananchi na kusimamia utekeleza miradi ya maendeleo.

Waziri Bashungwa ametoa kauli hiyo, mara baada ya kuapishwa kwa Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa ambao uteuzi wao umefanyika hivi karibuni, zoezi ambalo lilifanyika Ikulu jijini Dar Es Salaam tarehe 01 Agosti 2022. 

Waziri Bashungwa amesisitiza wizara yake kwenda kujipanga na kubadilika ili kuwa Wizara inayowahudumia Wananchi na kuwa Wizara inayotatua kero na changamoto za Wananchi kwa wakati.

Alisema asilimia 70 ya Watumishi wa umma wako Ofisi ya Rais -TAMISEMI na kuwa kila mmoja akitekeleza wajibu wake ina maana utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi itatekelezwa kwa zaidi ya asilimia 70.

Bashungwa alisema kwa mwaka wa fedha 2021/22, Ofisi ya Rais - TAMISEMI imeweza ukusanyaji mapato na kuvuka malengo kwa kukusanya asilimia 103 na kusisitiza kuwa bado kuna fursa kubwa ya kuongeza malengo haya.

" Mheshimiwa Rais umetuelekeza tuhakikishe tunadhibiti mianya yote ya upotevu wa mapato, timu hii iliyopo mbele yako mara baada ya kuapa, tunakwenda kujipanga na tunataka dhamira yako (Rais Samia) ya kuwahudumia wananchi kupitia Ofisi ya Rais TAMISEMI ikatimie, tuko tayari kufia site kuliko kukuangusha." Amesema Waziri Bashungwa.

Aidha, Bashungwa alimuahidi Rais kuwa timu hiyo wataekenda kutekeleza maagizo anayoyato ikiwamo ya ukusanyaji mapato na kusimamia na kudhibiti matumizi ya fedha za miradi.

"Nikuhakikishie Mheshimwa Rais hii ndio timu yako ya ushindi, umetuamini hatutakuangusha." Amesema Bashungwa.

Pia, aliwakumbusha Wakuu wa Mikoa kujipanga kuhakikisha Sensa ya Watu na Makazi Agosti 23, 2022 inafanyika kwa mafanikio.

Matukio katika Picha 


Matangazo

  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 16, 2024
  • Tangazo la Majina na Mipaka ya Vijiji na Vitongoji kwa Ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa September 16, 2024
  • Mwongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 February 20, 2024
  • Taarifa ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022, Matokeo ya Mwanzo February 20, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi Karibuni

  • Jamii Yatakiwa Kupinga Mila Potofu, Kandamizi

    March 08, 2023
  • Meatu Pikipiki Tisa

    February 14, 2023
  • TAKUKURU RAFIKI

    January 27, 2023
  • Hongereni Wataalam: Ngatumbura

    January 27, 2023
  • Angalia zote

Video

Ziara ya Waheshimiwa mawaziri nane Wilaya ya Meatu kwa ajili ya kukusanya Maoni ya Kutatua Migogoro
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Miongozo Mbali mbali
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari
  • Dokumenti mbali mbali

Tovuti mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara ya Takwimu(NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Meatu, Simiyu, Tanzania

    Anwani ya Posta: S.L.P 44

    Simu: 028 2795 008

    Simu ya Mkononi: 0622 404 712

    Barua Pepe: ded@meatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meatu . Haki Zote Zimehifadhiwa.