• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Meatu District Council
Meatu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Halmashauri ya Wilaya ya Meatu

  • Mwanzo
    • sub home
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Miundombinu, Maendeleo ya Miji na Vijijini
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Sekondari
      • Pre Primary Education
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango na Uratibu
      • Utumishi, Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha
      • Uratibu wa Manunuzi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji na Uvuvi
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fishing
    • Expertise
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Fedha, Uongozi na Mipango
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha habari

Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) latambua Mchango wa Mkoa wa Simiyu katika Utekelezaji wa Sera ya Viwanda kwa kutoa Tuzo ya kikombe na Cheti.

Imewekwa: June 15th, 2017

Tuzo hizo zilikabidhiwa kwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka  na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama wakati wa Kongamano la Mwaka la Uwezeshaji lililofanyika Mjini Dodoma.

Mkuu wa Mkoa Mtaka amesema kuwa Tuzo hizi ni hamasa kwa Viongozi na wananchi wa Simiyu kuongeza jitihada zaidi katika utekelezaji wa Sera ya Viwanda kuelekea kwenye Uchumi wa kati.

Mkoa wa Simiyu unatekeleza Sera ya Viwanda chini ya Kauli Mbiu ya “WILAYA MOJA BIDHAA MOJA” na  hadi sasa kuna kiwanda cha kutengeneza Chaki kilichopo wilayani Maswa na Kiwanda cha kusindika Maziwa wilayani Meatu, ambapo upembuzi yakinifu unaendelea kwa ajili ya upanuzi wa viwanda hivi ili kuongeza uzalishaji.

Aidha, upembuzi yakinifu utafanyika katika Halmashauri nyingine kwa ajili ya kuanzisha viwanda mbalimbali kikiwemo kiwanda cha sabuni za maji, za unga na mche wilayani Itilima, Kiwanda cha kutengeneza Tomato Sauce na Chill Sauce Wilayani Busega na kiwanda cha kusaga nafaka  na kupaki unga Bariadi Mjini.

Vingine ni kiwanda cha kutengeneza bidhaa za ngozi kitakachojengwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi na Kiwanda cha kutengeneza vifungashio kitakachojengwa Wilayani Maswa.

Pamoja na viwanda hivyo, Mkoa umekusudia kujenga Kiwanda cha bidhaa za Hospitali zitokanazo na pamba  ambacho kitasaidia Taifa kuokoa fedha zilizokuwa zikitumika kuagiza bidhaa hizo nje ya nchi.

Matangazo

  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 16, 2024
  • Tangazo la Majina na Mipaka ya Vijiji na Vitongoji kwa Ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa September 16, 2024
  • Mwongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 February 20, 2024
  • Taarifa ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022, Matokeo ya Mwanzo February 20, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi Karibuni

  • Jamii Yatakiwa Kupinga Mila Potofu, Kandamizi

    March 08, 2023
  • Meatu Pikipiki Tisa

    February 14, 2023
  • TAKUKURU RAFIKI

    January 27, 2023
  • Hongereni Wataalam: Ngatumbura

    January 27, 2023
  • Angalia zote

Video

Ziara ya Waheshimiwa mawaziri nane Wilaya ya Meatu kwa ajili ya kukusanya Maoni ya Kutatua Migogoro
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Miongozo Mbali mbali
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari
  • Dokumenti mbali mbali

Tovuti mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara ya Takwimu(NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Meatu, Simiyu, Tanzania

    Anwani ya Posta: S.L.P 44

    Simu: 028 2795 008

    Simu ya Mkononi: 0622 404 712

    Barua Pepe: ded@meatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meatu . Haki Zote Zimehifadhiwa.