• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Meatu District Council
Meatu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Halmashauri ya Wilaya ya Meatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Maono
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
        • Misitu
        • Wildlife Management
        • Ardhi
    • Vitengo
      • Ununuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
    • Mtaa
    • Vijiji
  • Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Town Planning and Environmental Committee
      • AIDS Control Committee
      • Ethics Committee
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti Wa Halmaashauri
  • Miradi
    • Maandiko ya Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayotekelezwa
      • TASAF
      • LVEMP II
      • Uzalishaji wa Mbegu za Pamba
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • District Profile and Maps
    • Acts and Regulations
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Fomu
    • Taarifa
    • Circulars
    • Dokumbenti Mbali mbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Hotuba

Asante kwa Kutembelea tovuti yetu!

Ndugu , 

Kwanza kabisa napenda nitoe shukrani kwako kwa kutembelea tovuti hii ya Halmashauri ya wilaya ya Meatu,

Ikiwa ni jitihada za Serikari ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya uongozi wa awamu ya tano ya Mheshimiwa Rais Dk. John Pombe Magufuli 


Pili, Ibara ya 18 ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaeleza kuwa

1) Bila ya kuathiri sheria ya nchi, na kutafuta,kupata na kueneza au kusambaza habari na mawazokupitia chombo cha habari chochote bila ya kujali mipaka ya taifa pia anayohakina uhuru wa kutoingiliwa na mawasiliano

2) Kila raia ana haki ya kupashwahabari wakati wote kuhusu matukio mbalimbali ya nchini na duniani kote yenyeumuhimu kwa maisha na shughuli za wananchi , pia kwa masuala yenye umuhimu kwajamii.

3) Kila mtu anayo haki ya kupewa taarifa wakati wote kuhusu matukio mbali mbali muhimu kwa maisha na shughuli za wananchi na pia kuhusu maswala muhimu ya jamii

Kwa kuzingatia mambo niliyoyataja hapo juu,

Halmashauri ya Wilaya ya Meatu  ilizindua tovuti hii katikati ya  mwezi Februari, 2017 na itakuwa daima kuwa "kazi inayoendelea". Tutaendelea kuongeza yaliyo muhimu kwenye tovuti yetu ili kuifanya kuwa kituo cha upatikanaji wa taarifa sahihi kwa umma. Tafadhali tujulishe nini ungependa kuwak inapatikana kwenye tovuti yetu ili kukusaidia kufaidika kwa kutumia anwani zilizopo katika sehemu ya wasiliana nasi.

Mwisho tunatarajia kwamba utarudi mara kwa mara ili kufuatilia jitihada zetu za kutoa huduma kwa raia wa Meatu na umma kwa ujumla.

Karibu sana

Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MEATU 2021 December 18, 2020
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MEATU 2021 December 15, 2020
  • MICHORO YA MAJENGO YA AFYA February 10, 2018
  • Angalia zote

Habari za hivi Karibuni

  • Waziri Jafo awasilisha makadirio ya bajeti 2020/2021

    April 08, 2020
  • Benki ya NMB yaunga jitihada za kuboresha miundombinu ya Elimu Wilayani Meatu

    September 25, 2019
  • Wazalishaji wa chumvi Meatu wawezeshwa Mashine ya kuchanganya madini joto

    August 15, 2019
  • Meatu yaongeza mikakati ya kudhibiti changamoto ya uvamizi wa tembo

    June 09, 2019
  • Angalia zote

Video

Ziara ya Waheshimiwa mawaziri nane Wilaya ya Meatu kwa ajili ya kukusanya Maoni ya Kutatua Migogoro
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Miongozo Mbali mbali
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari
  • Dokumenti mbali mbali

Tovuti mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara ya Takwimu(NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Meatu, Simiyu, Tanzania

    Anwani ya Posta: S.L.P 44

    Simu: 028 2795 008

    Simu ya Mkononi: 0622 404 712

    Barua Pepe: ded@meatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meatu . Haki Zote Zimehifadhiwa.