• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Meatu District Council
Meatu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Halmashauri ya Wilaya ya Meatu

  • Mwanzo
    • sub home
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Miundombinu, Maendeleo ya Miji na Vijijini
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Sekondari
      • Pre Primary Education
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango na Uratibu
      • Utumishi, Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha
      • Uratibu wa Manunuzi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji na Uvuvi
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fishing
    • Expertise
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Fedha, Uongozi na Mipango
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha habari

Wagudumu wa afya Mkoani Simiyu wanolewa

Imewekwa: June 22nd, 2018

Mratibu wa mradi wa RMNCAH- UNFPA Idara ya Afya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) Bi. Dinah Atinda amesema wahudumu wa ngazi za jamii wanajukumu kubwa la kutoa elimu, habari na unasuhi wa awali kwa wanawake wajawazito.

Ameyasema hayo wakati akifungua  mafunzo ya siku saba kwa wahudumu wa afya ya Jamii Mkoani Simiyu inayohusu kuboresha  afya ya Uzazi na Watoto wachanga ili kupunguza vifo vya mama na mtoto  kwa wahudumu wa afya jamii Mkoani Simiyu.

Amesema  kuwa ushirikishwaji wa jamii unatoa fursa kwa jamii  kujihususha  kufanya maamuzi yanayohusiana na afya zao na inaendeleza  kufikia mikakati inayoweza  kusaidia kupunguza kuchelewa kwa wanawake na familia zao  kupata huduma za afya.

Amesema kuwa lengo la mafunzo hayo ni kuwapa elimu ili waweze kuisaidia jamii ambayo kwa sasa inaangamia kwa kukosa huduma bora za afya, kutokana na vifo vingi vya mama wajawazito na mtoto Mkoani Simiyu

Amesema kuwa wamama wajawazito wengi hujifungulia kwa wakunga wa jadi na kukosa huduma iliyo sahihi jambo ambalo linasababisha wakinamama wengi kufa kwa kukosa huduma za msingi za afya hivyo ni jukumu la watoa huduma ya afya ya jamii kuhakikisha wanatoa elimu kwa jamii juu ya umuhimu wa kujifungulia katika vituo vya afya.

Amesema takwimu zinaonyesha kuwa Mikoa ya Kanda yaziwa inaongoza kwa vifo vya mama na mtoto lakini Mkoa wa Simiyu unaidadi kubwa ya vifo vya Mama na Mtoto kwa asilimia 50 kutokana na mila potofu zilipo katika Mkoa huo

Amesema Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI ) kwa kushirikiana na  wafadhili kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Ongezeko la Watu Duniani( UNFPA) wameboresha vituo vya afya na Zahanati  ili viweze kuzalisha kinamama na  kutoa huduma za upasuaji ndani ya vituo vilivyopo katika Halmashauri zao  na kupunguza vifo vya mama na mtoto katika Mkoa huo.

Amesema Serikali kupitia shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Ongezeko la watu Duniani (UNFPA) wameweza kujenga imejenga vituo vya afya 38 vyenye uwezo wa kufanya upasuaji na zahanati ambazo zilikuwa hazina wodi za wazazi ziweze kuzalisha akina mama na majengo yakikamilika vitapatiwa vifaa ili huduma ya afya iwe nzuri kwa jamii.

Bi. Dinah amesisitiza kuwa Wahudumu wa afya ya jamii wanajukumu kubwa la kuelimisha jamii juu ya kuondokana na mila potofu, wakina mama kuudhuria Kiliniki na Zahanati zilizoko katika maeneo yao ili kupunguza vifo vya wamama wajawazito na watoto wachanga Mkoani Simiyu.

Anaandika Angela Msimbira, OR-TAMISEMI  

ChanzoTAMISEMI

Matangazo

  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 16, 2024
  • Tangazo la Majina na Mipaka ya Vijiji na Vitongoji kwa Ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa September 16, 2024
  • Mwongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 February 20, 2024
  • Taarifa ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022, Matokeo ya Mwanzo February 20, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi Karibuni

  • Jamii Yatakiwa Kupinga Mila Potofu, Kandamizi

    March 08, 2023
  • Meatu Pikipiki Tisa

    February 14, 2023
  • TAKUKURU RAFIKI

    January 27, 2023
  • Hongereni Wataalam: Ngatumbura

    January 27, 2023
  • Angalia zote

Video

Ziara ya Waheshimiwa mawaziri nane Wilaya ya Meatu kwa ajili ya kukusanya Maoni ya Kutatua Migogoro
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Miongozo Mbali mbali
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari
  • Dokumenti mbali mbali

Tovuti mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara ya Takwimu(NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Meatu, Simiyu, Tanzania

    Anwani ya Posta: S.L.P 44

    Simu: 028 2795 008

    Simu ya Mkononi: 0622 404 712

    Barua Pepe: ded@meatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meatu . Haki Zote Zimehifadhiwa.