• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Meatu District Council
Meatu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Halmashauri ya Wilaya ya Meatu

  • Mwanzo
    • sub home
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Miundombinu, Maendeleo ya Miji na Vijijini
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Sekondari
      • Pre Primary Education
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango na Uratibu
      • Utumishi, Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha
      • Uratibu wa Manunuzi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji na Uvuvi
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fishing
    • Expertise
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Fedha, Uongozi na Mipango
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha habari

Nawida awa Diwani Mpya CCM kata ya Mwanyahina.

Imewekwa: January 20th, 2019

Mgombea wa Udiwani  kupitia Chama Cha Mapinduzi Ndg. Nawida J. Nawida ameshinda na kuwa Diwani wa kata ya Mwanhuzi baada ya kuwabwaga wenzake katika uchaguzi mdogo uliofanyika Ktika kata ya Mwanyahina wilaya ya Meatu jana.

Akitangaza matokea ya uchaguzi, mwenyekiti wa Uchaguzi wilaya ya Meatu ambaye pia ni Mkurugenzi mtendaji wa Wilaya ya Meatu Ndg Fabian Manoza Said amesema

“Diwani tutakayemtangaza leoambaye ndio mshindi, tutamkabidhi cheti leo, lakini keshokutwa jumatatu, tutamuapisha, tutamuapisha Jumatatu kwa sababukata ya MwanyahinaWDC yake ilikua haifanyi kazi, kwa hiyo tukisha muapisha Mh Diwani anatakiwa akakae na WDC yake kwa ajili ya ujenzi wa madarasa ili watoto wetu tarehe 15 mwezi wa pili wajiunge namasomo ya kidato cha kwanza”

Akitoa utanguliziNdg Manoza alisema mchakato wa uchaguzi ulianza tarehe 21 kwa wagombea kuchukua fomu ambapo tarehe 27 waliteuliwa nakampeni zilianza tarehe hiyo.

Aidha  Mwenyekiti huyo alibainisha changamoto ya mvua  ambazo ziliwakumba  wasimamizi pamoja na wapiga kura  Wakati wa kupeleka vifaa kwenye vituo vya kupigia kura, wakati wananchi wanajitokeza kupiga kura na wakati wa kurudisha vifaa na matokeo.

“Matokeao ya ujumla  yameathirika kwa sababu baadhi ya wananchi wameshindwa kufika kwa sababu ya mvua kubwa iliyonyesha kuanzia jana na  leo” Alisisitiza Manoza

Aidha watu  kati ya 4859 walioandikishwa, 1940 walijitokeza kupiga kura kati ya hao kura 11 ziliharibika na matokeo yalikua kama ivi: Ndg N.J. Nawida wa CCM alipata jumla ya kura 1684 sawa na 87.30%, Ndg. S.Y Magida wa ACT alipata jumla ya kura 139 sawa na 7.21%, Ndg. N.A Anatory wa CHAUMA  alipata jumla ya kura 59 sawa na 3.06% na Ndg. S.M. Edward wa TLP  alipata jumla ya kura  47 sawa na 2.44%.

Kwa matokeo hayo yamemfanya Ndg Nawida J. Nawida kuiongoza kata ya Mwanyahina kupitia chama cha Mapinduzi.

Mwisho


Matokeo zaidi kwa vituo


KITUO ACT CCM CHAUMA TLP JUMLA
1 OFISI YA VEO MWAGWILA-1 15 229 4 1 249
2 OFISI YA VEO MWAGWILA-2 6 247 5 1 259
3 OFISI YA VEO MWANYAHINA -1 0 217 0 0 217
4 OFISI YA VEO MWANYAHINA -2 7 61 1 0 69
5 S/AWALI MWAMSINGI – 1 3 28 2 0 33
6 S/AWALI MWAMSINGI – 2 4 155 5 6 170
7 S/M BUSIA – 2 0 200 0 7 207
8 S/M BUSIA – 1 2 80 0 0 82
9 S/M MWAJIDALALA – 1 22 45 1 0 68
10 S/M MWAJIDALALA – 2 38 120 8 5 171
11 S/M  MWANYAHINA -2 5 40 0 0 45
12 S/M MWANYAHINA – 1 3 52 0 0 55
13 S/M MWAGWILA -1 4 39 1 0 44
14 S/M MWAGWILA -2 30 171 32 27 260

JUMLA 139 1684 59 47 1929

ASILIMIA 7.21% 87.30% 3.06% 2.44%

Matangazo

  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 16, 2024
  • Tangazo la Majina na Mipaka ya Vijiji na Vitongoji kwa Ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa September 16, 2024
  • Mwongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 February 20, 2024
  • Taarifa ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022, Matokeo ya Mwanzo February 20, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi Karibuni

  • Jamii Yatakiwa Kupinga Mila Potofu, Kandamizi

    March 08, 2023
  • Meatu Pikipiki Tisa

    February 14, 2023
  • TAKUKURU RAFIKI

    January 27, 2023
  • Hongereni Wataalam: Ngatumbura

    January 27, 2023
  • Angalia zote

Video

Ziara ya Waheshimiwa mawaziri nane Wilaya ya Meatu kwa ajili ya kukusanya Maoni ya Kutatua Migogoro
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Miongozo Mbali mbali
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari
  • Dokumenti mbali mbali

Tovuti mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara ya Takwimu(NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Meatu, Simiyu, Tanzania

    Anwani ya Posta: S.L.P 44

    Simu: 028 2795 008

    Simu ya Mkononi: 0622 404 712

    Barua Pepe: ded@meatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meatu . Haki Zote Zimehifadhiwa.