• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Meatu District Council
Meatu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Halmashauri ya Wilaya ya Meatu

  • Mwanzo
    • sub home
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Miundombinu, Maendeleo ya Miji na Vijijini
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Sekondari
      • Pre Primary Education
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango na Uratibu
      • Utumishi, Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha
      • Uratibu wa Manunuzi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji na Uvuvi
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fishing
    • Expertise
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Fedha, Uongozi na Mipango
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha habari

Meatu yakiwezesha kikundi cha Ngunani kujiinua kiuchumi

Imewekwa: January 29th, 2019

Na Linus R. James - MEATU DC

Halmashauri yawilaya ya  Meatu kupitia Idara ya maendeleo ya jamii, idara ya maji, mazingira, mifugo na uvuvi imekiwezesha kikundi cha akina mama   cha Ngunani kilichopo kijiji cha Jinamo  kata ya  Mwanjolo ili kiweze kujiinua kiuchumi.

Katika uwezeshwaji huo leo Idara hizo nne zimeweza kutoa mafunzo ya namna bora ya ufugaji wa samaki aina ya Sato lengo likiwa ni kutaka kikundi hicho kufuga ufugaji wa kisasa na wenye tija.

Licha ya kutoa mafunzo halmashauri kupitia asilimia nne ya mapato ya ndani kwenye  mfuko wa maendeleo kwa wanawake(WDF) imeweza kutoa kiasi cha shilingi milioni nane kwa kikundi hicho cha Ngunani.

Jumla ya vifaranga vipatavyo 11, 000 vimepandikizwa katika bwawa la Jinamo lililopo katika kata ya Mwanjolo.

Akizungumza wakati akitoa mafunzo Mkuu wa Idara ya maendeleo ya Jamii Mwanaisham Nassor  amesema hii ni fursa ya kuwainua akina mama kiuchumi kama mbinu zilizotoloewa na wataalam wote zitazingatiwa na kufuatwa

“Jumla ya vifaranga 11,000 ambavyo tumeshavipandikiza tunategemea  ifikapo mwezi wa sita mwaka huu kikukndi hiki kitaweza kuvuna samaki wasiopungua 10,000 ivyo kujipatia fedha za Kitanzania zisizopungua milioni thelasini ivo kipato na uchumi wa wanakikundi vitaongezeka”. Alisema Bi Mwanaisham.

Mafunzo haya ya vikundi ni mwendelezo wa Halmashauri kupitia Idara ya maendeleo ya Jamii kuyafikia makundi mbali mbali wakiwemo Wanawake, vijana na  watoto ambapo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 jumla ya vikundi visivyopungua 70 vimepangwa kufikiwa na kuwezeshwa.

Mwisho


Matangazo

  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 16, 2024
  • Tangazo la Majina na Mipaka ya Vijiji na Vitongoji kwa Ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa September 16, 2024
  • Mwongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 February 20, 2024
  • Taarifa ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022, Matokeo ya Mwanzo February 20, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi Karibuni

  • Jamii Yatakiwa Kupinga Mila Potofu, Kandamizi

    March 08, 2023
  • Meatu Pikipiki Tisa

    February 14, 2023
  • TAKUKURU RAFIKI

    January 27, 2023
  • Hongereni Wataalam: Ngatumbura

    January 27, 2023
  • Angalia zote

Video

Ziara ya Waheshimiwa mawaziri nane Wilaya ya Meatu kwa ajili ya kukusanya Maoni ya Kutatua Migogoro
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Miongozo Mbali mbali
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari
  • Dokumenti mbali mbali

Tovuti mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara ya Takwimu(NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Meatu, Simiyu, Tanzania

    Anwani ya Posta: S.L.P 44

    Simu: 028 2795 008

    Simu ya Mkononi: 0622 404 712

    Barua Pepe: ded@meatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meatu . Haki Zote Zimehifadhiwa.