• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Meatu District Council
Meatu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Halmashauri ya Wilaya ya Meatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Maono
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
        • Misitu
        • Wildlife Management
        • Ardhi
    • Vitengo
      • Ununuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
    • Mtaa
    • Vijiji
  • Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Town Planning and Environmental Committee
      • AIDS Control Committee
      • Ethics Committee
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti Wa Halmaashauri
  • Miradi
    • Maandiko ya Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayotekelezwa
      • TASAF
      • LVEMP II
      • Uzalishaji wa Mbegu za Pamba
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • District Profile and Maps
    • Acts and Regulations
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Fomu
    • Taarifa
    • Circulars
    • Dokumbenti Mbali mbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Hotuba

M

Mipango,takwimuna ufuatiliaji

Utangulizi

Idara ya Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji ni miongoni mwa idara za halmashauri ya wilaya ya Meatu zinazounda timu ya menejementi ya Halmashauri ya Meatu ambayo inajukumu la kutoa huduma bora za kiuchumi na kijamii kwa wananchi na wadau wake katika maendeleo.

Idara ya Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji inalo jukumu la msingi la kuandaa mpango wa bajeti wa halmashauri na kusimamia utekelezaji. Jukumu hili limejengwa na kusimamiwa  pia na  sheria ya bajeti Na 11 ya mwaka 2015, sheria ndogo za halmashauri pamoja na miongozo na nyaraka mbalimbali za serikali zinazosimamia taratibu  za mipango, Takwimu na Ufuatiliaji.

Idara ya Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji ilianzishwa mwaka1987 katika Halmashauri ya Wilaya ya Meatu.

MAJUKUMU YA IDARA YA MIPANGO,TAKWIMU NA UFUATILIAJI.

  1. Kuandaa  Mpango wa Bajeti wa Halmashauri na kusimamia utekelezaji kwa mujibu wa Sheria ya bajeti Na 11 ya mwaka 2015.
  2. Kukusanya takwimu, na taarifa mbalimbali za kiuchumi kwa ajili ya uchambuzi.
  3. Kuratibu na kusimamia utekelezaji wa sera mbalimbali za kisekta ili iweze kutekelezwa kwa wananchi.
  4. Kuratibu taarifa zote za maendeleo katika Wilaya
  5. Kufanya ufuatiliaji na tathimini ya miradi ya maendeleo katika kata na vijiji vyote
  6. Kufanya utafiti na kubainisha fursa zilizopo katika sekta husika
  7. Kutayarisha na kusambaza takwimu za taarifa za kiuchumi kwa washkadau mbalimbali zamaendeleo
  8. Kuainisha vipaumbele vya maendeleo.
  9. Kuchambua mwenendo wa bajeti ya serikali na kushauri mamlaka husika
  10. Kubaini fursa zilizopo katika wilaya kwa ajili ya uwekezaji.
  11. Kukusanya takwimu mbalimbali za kisekta na kuzisambaza kwa wadau mbalimbali.
  12. Kutafsiri sera na miongozo mbalimbali ya kitaifa ili iweze kutumika katika mazingira yetu
  13. Kuratibu utekelezaji wa dira ya taifa ya maendeleo2025
  14. Kwa kushirikiana na idara ya fedha na Biashara kubaini na kuainisha vyanzo vipya vya mapato katika halmashauri ya wilaya ya Meatu

MAWASILIANO YA IDARA.

Mpaka sasa Idara ya Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji inajumla ya watumishi 6( Sita) ambao ni

1.  Ndg, Gervas A. Amata (Mkuu wa Idara)

     Simu 0754016881

     Barua pepe:gervasamata@gmail.com

2. Rogatevane  kipigapasi(Mchumi I)

    Simu 0769303606

    Barua pepe: roggykipper@gmail.com

3. Lenzako K. Msabaha(Mchumi II)

    Simu 0754819942

    Barua pepe:lenzakom7ha@gmail.com.

4. Ibrahim Mponzi(Mchumi II)

    Simu 0756488610

    Barua pepe:imponzi@gmail.com

5. Witness K. Mujuni (Mchumi II )

     Simu 0620817180

      Barua pepe: Alindamujuni1@gmail.com

6.  Tilu M. Hanzi (Katibu Mahsusi)

       Simu 0764201665

       Barua pepe:hanzif5@gmail.com

Matangazo

  • Tangazo la Orodha ya Majina Waliopata Ajira Kada za Afya na Ualimu Juni 2022 June 26, 2022
  • Tangazo la nafasi za Kazi Meatu May 30, 2022
  • Tangazo la Majina ya Waliochaguliwa Kukusanya Taarifa ya Anuani za Makazi na Postikodi March 24, 2022
  • MICHORO YA MAJENGO YA AFYA February 10, 2018
  • Angalia zote

Habari za hivi Karibuni

  • Kati ya Ajira 16,676 Zilizotangazwa na Serikali, Meatu Yanufaika na Ajira 109

    June 26, 2022
  • 'The Heroes' Wakabidhiwa Basi Baada ya Kukopeshwa Milioni 72

    May 20, 2022
  • Dakawa Aongoza Maziko

    May 14, 2022
  • Shillingi 117,467,622 zatolewa kwa ajili ya vijana, wanawake na wenye ulemavu

    October 04, 2021
  • Angalia zote

Video

Ziara ya Waheshimiwa mawaziri nane Wilaya ya Meatu kwa ajili ya kukusanya Maoni ya Kutatua Migogoro
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Miongozo Mbali mbali
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari
  • Dokumenti mbali mbali

Tovuti mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara ya Takwimu(NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Meatu, Simiyu, Tanzania

    Anwani ya Posta: S.L.P 44

    Simu: 028 2795 008

    Simu ya Mkononi: 0622 404 712

    Barua Pepe: ded@meatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meatu . Haki Zote Zimehifadhiwa.